Monday 22 September 2014

Warembo Miss Tanzania watembelea Hifadhi ya Taifa ya Mikumi

Warembo 30 wanaoshiriki shindano la Redd's Miss Tanzania 2014 jana walitembelea hifadhi ya taifa ya Mikumi mkoani Morogoro kujionea vivutio mbalimbali vya utalii viliovyopo katika hifadhi hiyo ambapo waliweza kujionea wanyama wa aina mbalimbali wakiwepo, Tembo, Twiga, Swala, Viboko na Simba.
 Kaimu Mhifadhi Utalii wa Hifadhi ya Taifa Mikumi, Apaikunda Mungure akigawa vipeperushi kwa warembo.
 
kundi la simba wakiwa kwenye pozi la mapunziko mikumi national park
 
Warembo walibahatika kuwaona Simba zaidi ya Saba wakiwamepumzika chini ya mti

No comments:

Post a Comment